KARIBU UJUMUIKE NA WAZAZI WENZAKO KWENYE JUKWA LA KUJADILI MALEZI YENYE MALENGO
Ni ukweli usiopingika kuwa waazazi wote hupenda kuona watoto wao wakikua katika maadaili yanayopendeza na ikiwemo kufaulu vizuri katika masomo yao na hata wafikiapo umri wa kujitegemea wawe vijana wenye maono bora.
Hapo nyuma hakukuwa na mitaala ya kuweza kuwasaidia wazazi kukuza watoto vile inavyotakikana, hivyo ilipelekea watoto wengi kushindwa kufikia malengo yao na lawama walitupiwa wazazi wao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni